Monday, March 16, 2009
Mkoa wa Tanzania wenye wasichana wazuri.
Rafiki yangu amenidokeza kuwa katika Tanzania mkoa ambao wasichana wanakuwa wanavutia ni Bukoba eti alisema karibuni kila utakaemuona ana figure 8 na huchoki kumtazama ,kwa kweli alikuwa na fikra tofauti na za kwangu mimi nilifikiria ni Kondoa Irangi ,ambapo kuna wasichana waliochanganya asili na wajerumani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hello
ReplyDeletemi nafkiri wasichana wazuri wako moshi..miguu kama chupa ya togwa na umbo number tisa....lol!
wasichana wazuri wako arusha ni wambulu
ReplyDeletehahahah..
ReplyDeletehahahah....