Wednesday, September 16, 2009
lori la mchanga lagongwa na treni
lori la kubeba mchanga likiwa limeharibika baada ya kugongwa na treni ya mizigo katika eneo la Makulu mjini Dodoma jana baada ya lori hilo kukatiza reli sehemu ambayo haina kivuko. Hakuna aliyereruhiwa katikaL ajali hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ajali nyingine kama hizi husababishwa na uzembe tu tu!!Kazi ipo!:-(
ReplyDelete