Saturday, March 14, 2009

viongozi wa UWT!!!!

mwenyekti wa uwt Sofia Simba ametangaza safu ya viongozi (wajumbe) wanzake 5 watakao fanyakazi nao ni:-

Hawa ghasia
shamsha mwangunga
zakia megheji
zainabu shomari
thureya abdala

kamati ya utekelezaji
pamoja nahao hapo juu ni
lucy mayenga
fatuma toufiq
subira mohamedi
fatuma hamza
wengine ni
lediana mn'gon'go
asha abdala
zainabu omari.

No comments:

Post a Comment