Tuesday, March 31, 2009

Pinda atoa kauli nyingine tata.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Iringa, kuiondoa mahakamani kesi iliyofunguliwa dhidi ya Diwani wa Kata wa Itunundu (CCM) wilayani hapa kwa madai kwamba wapinzani watatumia kama `mtaji` kwenye uchaguzi mkuu ujao.
FOR MORE

No comments:

Post a Comment