Mwanamke mfanyabishara wa kuuza vitenge katika Manispaa ya Morogoro akiuchapa usingizi kutokana na uchovu wakati akisubiria wateja wa kununua vitenge hivyo jambo ambalo ni hatari kwa vibaka kutumia mwanya huo kuiba katika mnada unaofanyika kila jumamosi mtaa wa Uhuru mjini hapo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment