Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli nchini (TRL) wakiendelea na mgomo wao jana kudai mishahara yao. Kampuni hiyo ililazimika kuwarudishia wateja wake nauli ili watafute njia nyingine za usafiri kutokana na mgomo huo wa treni ya kwenda bara.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment