Friday, May 22, 2009

jinsi mazingira ya upatikanaji wa elimu yalivyo magumu nchini TZ.

Wanafunzi wa darasa la saba kutoka Mbagala Kuu jijini Dar es salaam wakiwa katika mitihani yao ya kila mwezi wakiwa wamekaa chini huku wakifanya mitihani yao.
(haya ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania?)

No comments:

Post a Comment