Vijana wawili wakiwa wanauchapa usingizi jana asubuhi, pembeni mwa ufukwe wa Bahari ya Hindi eneo la Feri jijini Dar es Salaam, hata hivyo haikufahamika mara moja kulala kwao kulitokana na uchovu ama kukosekana kwa kazi za kufanya .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment